Kutuma kiotomatiki
Unapotambaza nakala asili kwa kudonoa (Tuma), kichapishi hupigia mpokeaji na hutuma faksi.
Kutuma kikuli
Unapotekeleza ukaguzi wa kikuli kwenye muunganisho wa laini kwa kupigia mpokeaji, donoa (Tuma) ili kuanza kutuma faksi moja kwa moja.
Unaweza kuingiza wapokeaji kwa kutumia Kibodi, Waasiliani, na Hivi karibuni.
Unaweza kuteua vipengee kama vile Mwonekano au Ukubwa Asili (Glasi) unapotuma faksi.
Unaweza kutumia Mipangilio ya Kutuma Faksi kama vile Tuma Moja kwa Moja (ili kutuma waraka mkubwa bila ukatizaji) au Tuma Faksi Baadaye (ili kutuma faksi kwa wakati uliobainisha).