> Utambazaji > Kutambaza Nakala Asili kwenye Kifaa cha Kumbukumbu > Chaguo za Menyu Msingi za Kutambaza kwenye Kifaa cha Kumbukumbu

Chaguo za Menyu Msingi za Kutambaza kwenye Kifaa cha Kumbukumbu

Kumbuka:

Huenda vipengee visipatikane kulingana na mipangilio mingine uliyofanya.

N. na N'pe/Rangi

Chagua ikiwa utatambaza kwenye monokromu au kwa rangi.

Umbizo la Faili:

Teua umbizo ambalo unataka kuhifadhi taswira zilizotambazwa.

  • Mgao wa Mfinyazo:

    Teua kiwango cha kufinyaza picha iliyotambazwa.

  • Mipangiliuo ya PDF:

    Unapoteua PDF kama mpangilio wa kuhifadhi umbizo, tumia mipangilio hii kulinda faili za PDF.

    Ili kuunda faili ya PDF ambayo inahitaji nywila wakati wa kufungua, weka Nenosiri la Kufungua Hati. Ili kuunda faili ya PDF ambayo inahitaji nywila wakati wa kuchapisha au kuhariri, weka, Nenosiri la Vibali.

Mwonekano:

Teua mwonekano wa utambazaji.

Pande 2:

Tambaza pande zote za nakala asili.

  • Mwelekeo (Asili):

    Teua mwelekeo wa nakala asili.

  • Ufungaji(Asili):

    Teua mwelekeo wa kuweka pamoja wa nakala asili.

Eneo la Kutambaza:

Teua eneo la kutambaza. Ili kupuna nafasi nyeupe kwenye matini au taswira unapotambaza, teua Upunuaji Otomatiki. Ili kutambaza katika eneo nzima ya glasi ya kitambazaji, teua Upeo wa Eneo.

  • Mwelekeo (Asili):

    Teua mwelekeo wa nakala asili.

Aina Asili:

Teua aina ya nakala yako asili.