KulKulemaza Kipengele cha Usalama Ukitumia Paneli Dhibiti

Unaweza kulemaza Uchujaji wa IPsec/IP au IEEE 802.1X ukitumia paneli dhibiti ya kichapishi.

  1. Teua Mipangilio > Mipangilio ya Jumla > Mipangilio ya Mtandao.

  2. Teua Mahiri.

  3. Teua kipengee kati ya vifuatavyo unachotaka kulemaza.

    • Lemaza Uchujaji wa IPsec/IP
    • Lemaza IEEE802.1X
  4. Teua Anza Kusanidi kwenye skrini ya uthibitishaji.