Kuna zana tatu za kusanidi waasiliani wa kichapishi: Web Config, Epson Device Admin, na paneli dhibiti ya kichapishi. Tofauti kati ya zana hizi tatu zimeorodheshwa kwenye jedwali la hapa chini.
|
Vipengele |
Web Config |
Epson Device Admin |
Paneli dhibiti ya kichapishi |
|---|---|---|---|
|
Kusajili mafikio |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kuhariri mafikio |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kuongeza kikundi |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kuhariri kikundi |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kufuta mafikio au vikundi |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kufuta mafikio yote |
✔ |
✔ |
– |
|
Kuleta faili |
✔ |
✔ |
– |
|
Kuhamisha hadi kwenye faili |
✔ |
✔ |
– |
|
Kupangia mafikio ya kutumia kila mara |
✔ |
✔ |
✔ |
|
Kupanga mafikio yaliyopangiwa kutumiwa kila mara |
– |
– |
✔ |
Kadhalika, unaweza kusanidi mafikio ya faksi kwa kutumia FAX Utility.