> Maelezo ya Msimamizi > Kudhibiti Kichapishi > Mipangilio ya Msimamizi > Kuingia kwenye Kichapishi kama Msimamizi > Kuingia Kuingia kwenye Kichapishi Ukitumia Paneli Dhibiti

Kuingia Kuingia kwenye Kichapishi Ukitumia Paneli Dhibiti

  1. Donoa .

  2. Donoa Msimamizi.

  3. Ingiza nywila ya msimamizi, na kisha udonoe Sawa.

    huonyesha wakati wa uidhinishaji, kisha unaweza kutumia vipengee vya menyu iliyofungwa.

    Donoa ili kuondoka.

Kumbuka:

Unapoteua On kwa ajili ya Mipangilio > Mipangilio ya Jumla > Mipangilio Msingi > Muda wa Shughuli Umeisha, unaondoka kiotomatiki baada ya muda mahususi iwapo hakuna shughuli kwenye paneli dhibiti.