Mfano huu ni wa kusanidi sera chaguomsingi pekee.
Default Policy:
IPsec/IP Filtering: Enable
Access Control: IPsec
Authentication Method: Pre-Shared Key
Pre-Shared Key: ingiza hadi vibambo 127.
Group Policy: usisanidi.
Mfano huu huruhusu mawasiliano ya data ya uchapishaji na usanidi wa kichapishi kutoka huduma zilizobainishwa.
Default Policy:
IPsec/IP Filtering: Enable
Access Control: Refuse Access
Group Policy:
Enable this Group Policy: teua kisanduku.
Access Control: Permit Access
Remote Address(Host): anwani ya IP ya kiteja
Method of Choosing Port: Service Name
Service Name: teua kisanduku cha ENPC, SNMP, HTTP (Local), HTTPS (Local) na RAW (Port9100).
Ili kuepuka kupokea HTTP (Local) na HTTPS (Local), futa visanduku vyao vya kuteua kwenye Group Policy. Unapofanya hivyo, lemaza uchujaji wa IPsec/IP kutoka kwenye paneli dhibiti ya kichapishi kwa muda ili kubadilisha mipangilio ya kichapishi.
Mfano huu huruhusu anwani ya IP iliyobainishwa kufikia kichapishi.
Default Policy:
IPsec/IP Filtering: Enable
Access Control:Refuse Access
Group Policy:
Enable this Group Policy: teua kisanduku.
Access Control: Permit Access
Remote Address(Host): anwani ya IP ya mteja wa msimamizi
Licha ya sera za usanidi, mteja ataweza kufikia na kusanidi kichapishi.