Ili kutumia kipengele hiki, hakikisha kwamba programu zifuatazo zimesakinishwa kwenye kompyuta yako.
Epson ScanSmart (Windows 7 au la baadaye, au OS X El Capitan au la baadaye)
Epson Event Manager (Windows Vista/Windows XP, au OS X Yosemite/OS X Mavericks/OS X Mountain Lion/Mac OS X v10.7.x/Mac OS X v10.6.8)
Epson Scan 2 (programu zinazohitajika ili utumie kipengele cha kitambazaji)
Tazama yafuatayo ili uangalie ikiwa kuna programu za kusakinisha.
Windows 10: bofya kwenye kitufe cha kuwasha, na kisha uteue Mifumo ya Windows — Paneli Dhibiti — Programu — Programu na Vipengele.
Windows 8.1/Windows 8: teua Eneo-Kazi — Mipangilio — Paneli Dhibiti — Programu — Programu na Vipengele.
Windows 7/Windowes Vista: bofya kitufe cha kuwasha, na kisha uteue Paneli Dhibiti — Programu — Programu na Vipengele.
Windows XP: bofya kitufe cha kuwasha, na kisha uteue Paneli Dhibiti — Ongeza au Ondoa Programu.
Mac OS: teua Nenda > Programu > Epson Software.
Weka nakala za kwanza.
Teua Changanua > Kompyuta kwenye paneli dhibiti.
Teua kompyuta ya kuhifadhi picha zilizotambazwa.
, kisha uteue kompyuta nyingine.
Teua
ili kuteua jinsi ya kuhifadhi picha iliyotambazwa kwenye kompyuta.
Donoa
.
Unapotumia Windows 7 au la baadaye, au OS X El Capitan au la baadaye: Epson ScanSmart huwashwa kiotomatiki kwenye kompyuta yako, na utambazaji huanza.
Tazama usaidizi wa Epson ScanSmart kwa taarifa kamili ya kutumia programu. Bofya Help kwenye skrini ya Epson ScanSmart ili kufungua msaada.
Huwezi kuanza tu kutambaza kutoka kwenye kichapishi lakini pia kutoka kwenye kompyuta yako kwa kutumia Epson ScanSmart.