Teua ili kuchapisha kutoka upande wa juu au ukurasa wa mwisho. Iwapo utateua Nyuma hadi Mbele, kurasa zinawekwa kwenye mpororo kwenye mpangilio sahihi kulingana na idadi ya kurasa baada ya uchapishaji.
Umbizo la Ukurasa:
Kurasa kwa kila Laha:
Kurasa kwa kila Muundo wa Karatasi:
Hukuwezesha kubainisha muundo wa ukurasa unapochapisha kurasa nyingi kwenye karatasi mmoja.
Kijitabu:
Uunganishaji wa Kijitabu:
Teua nafasi ya uunganishaji kwa kijitabu.
Chora Mipaka:
Teua hii iwapo unataka kuweka mstari wa mpaka kwa kila ukurasa unapochapisha kurasa nyingi kwenye laha moja au unapounda kijitabu.