> Maelezo ya Msimamizi > Mipangilio ya Usalama wa Mtandao > Kudhibiti Kutumia Itifaki > Iitifaki unazoweza Kuwezesha au Kulemaza

Iitifaki unazoweza Kuwezesha au Kulemaza

Itifaki

Ufafanuzi

Bonjour Settings

Unaweza kubainisha iwapo utatumia Bonjour. Bonjour hutumika kutafuta vifaa, chapisho na kadhalika.

iBeacon Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza kitendaji cha kuwasilisha iBeacon. Ikiwezeshwa, unaweza kutafuta kichapishi kutoka kwenye vifaa vinavyotumia iBeacon.

Kipengee hiki hakionyeshwi kwa mitandao ya ziada.

SLP Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza SLP kitendaji cha kuwasilisha. SLP inatumika katika utambazaji wa kusukumwa na utafutaji wa mtandao katika EpsonNet Config.

WSD Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza kitendaji cha kuwasilisha WSD. Ikiwezeshwa, unaweza kuongeza vifaa vya WSD, na kuchapisha kutoka kwenye kituo cha WSD.

LLTD Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza kitendaji cha kuwasilisha LLTD. Ikiwezeshwa, inaonyeshwa kwenye ramani ya mtandao wa Windows.

LLMNR Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza kitendaji cha kuwasilisha LLMNR. Ikiwezeshwa, unaweza kutumia jina la ubainifu bila NetBIOS hata ikiwa huwezi kutumia DNS.

LPR Settings

Unaweza kubainisha iwapo utaruhusu uchapishaji wa LPR au la. Ikiwezeshwa, unaweza kuchapisha kutoka kwenye kituo cha LPR.

RAW(Port9100) Settings

Unaweza kubainisha ikiwa utaruhusu uchapishaji kutoka kwenye kituo cha RAW (Kituo cha 9100) au la. Ikiwezeshwa, unaweza kuchapisha kutoka kwenye kituo cha RAW (Kituo cha 9100).

RAW(Custom Port) Settings

Unaweza kubainisha ikiwa utaruhusu uchapishaji kutoka kwenye kituo cha RAW (kituo maalum). Ikiwezeshwa, unaweza kuchapisha kutoka kwenye kituo cha RAW (kituo maalum).

IPP Settings

Unaweza kuwezesha au kulemaza kitendaji cha kuwasilisha IPP. Ikiwezeshwa, utaweza kuchapisha kwenye Intaneti. Inaonyeshwa pia wakati wa kutafuta vifaa kwenye mtandao.

FTP Settings

Unaweza kubainisha iwapo utaruhusu uchapishaji wa FTP au la. Ikiwezeshwa, unaweza kuchapisha kupitia FTP server.

SNMPv1/v2c Settings

Unaweza kubainisha iwapo utaruhusu SNMPv1/v2c au la. Hii inatumika ili kusanidi vifaa, kufuatilia na mengineyo.

SNMPv3 Settings

Unaweza kubainisha iwapo utaruhusu SNMPv3 au la. Hii inatumika ili kusanidi vifaa vilivyosimbwa kwa njia fiche, kufuatilia n.k.