Vipengele vya Kichapishi:
Panga:
Upangaji Hamishi: Huondoa kila kikundi cha nakala. Unaweza kuteua chaguo hili tu wakati umeteua Uteuzi Otomatiki au Trei Kamilishi kuwa mpangilio wa Trei ya Zao.
Bana kwa stepla:
Teua eneo la stepla.
Toboa:
Teua eneo la shimo linalotobolewa. Huonyeshwa wakati kitengo cha kutoboa kimesakinishwa.
Kunja/Taraza Mshono:
Teua iwapo unataka kukunja au kukunja na kutaraza machapisho.