> TumiKutumia Vipengee vya Hiari > Ubao wa Ethaneti (10/100/1000 Base-T,Ethernet) > Mipangilio Unapotumia Mtandao wa Ziada > Kuteua Njia ya Uwasilishaji wa Mtandao (Unapotumia Mtandao wa Ziada)

Kuteua Njia ya Uwasilishaji wa Mtandao (Unapotumia Mtandao wa Ziada)

Vitendaji vifiatavyo vya kutambaza na kutuma faksi vinapatikana kutoka kwenye paneli dhibiti ya kichapishi kwenye ama mtandao wa kawaida au wa ziada.

  • Tambaza kwenye Barua pepe

  • Tambaza kwenye Kabrasha

  • Tambaza kwenye Document Capture Pro

  • Tuma Faksi kwenye Barua pepe

  • Tuma Faksi kwenye Kabrasha

Fuata hatua zilizo hapa chini ili kuteua mtandao ili kutumia vitendaji hivi vya kutambaza na kutuma faksi.

  1. Teua Mipangilio kwenye skrini ya nyumbani.

  2. Teua Mipangilio ya Jumla > Mipangilio ya Mtandao > Njia ya Usambazaji wa Mtandao.

  3. Teua Wastani au Ya Ziada ili mtandao mtando utumie vitendaji vya kutambaza na kutuma faksi.