> Kutuma Faksi (Vichapishi vinavyotuma Faksi Pekee) > Kupokea Faksi kwenye Kichapishi > Kupokea Faksi na Kupiga Simu > Kupokea Faksi kutoka kwenye Bodi iliyo na Anwani ndogo (SEP) na Nywila (PWD) (Itisha Hati)

Kupokea Faksi kutoka kwenye Bodi iliyo na Anwani ndogo (SEP) na Nywila (PWD) (Itisha Hati)

Kwa kupiga kwa mtumaji, unaweza kupokea faksi kutoka kwa bodi iliyohifadhiwa kwenye mashine ya faksi ya mtumaji yaliyo na kipengele cha anwani ndogo (SEP) na nenosiri (PWD). Ili kutumia kipengele hiki, sajili mwasiliani aliye na anwani ndogo (SEP) na nywila (PWD) kwenye orodha ya wasiliani mapema.

  1. Teua Faksi kwenye skrini ya nyumbani.

  2. Teua (Menyu).

  3. Teua Faksi Iliyoenezwa.

  4. Donoa Itisha Hati ili kuweka hii kwa Washa.

  5. Donoa Funga, na kisha udonoe Funga tena.

  6. Teua orodha ya waasiliani, na kisha uteue mwasiliani aliye na anwani ndogo iliyosajiliwa (SEP) na nenosiri (PWD) ilingane na bodi ya mafikio.

    Kumbuka:

    Ikoni ifuatayo inaonyesha orodha ya waasiliani.

  7. Donoa .