Kubadilisha Muunganisho wa Mtandao hadi Ethaneti kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kutenganisha Muunganisho wa Wi-Fi Direct (AP Rahisi) kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kurejesha Mipangilio ya Mtandao kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Kupokea Faksi kwenye Kichapishi
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu ya Kusawazisha Utendakazi wa Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu ya Kutambaza kutoka katika Kompyuta (Epson ScanSmart)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Programu ya Uchapishaji Haraka na Furaha kutoka katika Kompyuta (Epson Photo+)
Programu ya Kuendesha Kichapishi Rahisi kutoka kwenye Kifaa maizi (Epson Smart Panel)
Programu-tumizi ya Kutambaza na Kuhamisha Taswira (Easy Photo Scan)
Programu ya Kusasisha Programu na Vifaa Dhibiti (Epson Software Updater)
Programu ya Kusanidi Kifaa Kipya kwenye Mtandao (EpsonNet Config)
Kusasisha Programu dhibiti ya Kichapishi kwa kutumia Paneli Dhibiti
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matini au taswira Iliyonakiliwa kutoka kwenye ADF Imefinywa au Kurefushwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Miongozo ifuatayo hutumika na kichapishi chako cha Epson.Kadhalika miongozo, angalia aina mbalimbali za maelezo ya msaada yanayopatikana kutoka kwenye kichapishi chenyewe au kutoka programu-tumizi za Epson.
Maagizo Muhimu ya Usalama (mwongozo wa karatasi)
Hukupa maagizo ya kuhakikisha usalama wa printa hii.
Anza Hapa (mwongozo wa karatasi)
Hukupatia maelezo kuhusu kusanidi kichapishi, kusakinisha programu, kutumia kichapishi, na kadhalika.
Mwongozo wa Mtumiaji (mwongozo wa dijitali)
Mwongozo huu.Hutoa maelezo ya jumla na maagizo kuhusu kutumia kichapishi, kwenye mipangilio ya mtandao unapotumia kichapishi kwenye mtandao, na kutatua matatizo.
Unaweza kupata matoleo mapya ya miongozo iliyo hapa juu kwa kutumia mbinu zifuatazo.
Mwongozo wa karatasi
Tembelea tovuti ya usaidizi ya Epson Ulaya http://www.epson.eu/Support, au tovuti ya usaidizi wa Epson duniani iliyo http://support.epson.net/.
Mwongozo wa kidijitali
Anzisha EPSON Software Updater kwenye kompyuta yako.EPSON Software Updater hukagua visasisho vilivyopo vya prograu za Epson na miongozi ya kidijitali, na hukuruhusu kupakua mpya.