Kubadilisha Muunganisho wa Mtandao hadi Ethaneti kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kutenganisha Muunganisho wa Wi-Fi Direct (AP Rahisi) kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kurejesha Mipangilio ya Mtandao kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Kupokea Faksi kwenye Kichapishi
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu ya Kusawazisha Utendakazi wa Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu ya Kutambaza kutoka katika Kompyuta (Epson ScanSmart)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Programu ya Uchapishaji Haraka na Furaha kutoka katika Kompyuta (Epson Photo+)
Programu ya Kuendesha Kichapishi Rahisi kutoka kwenye Kifaa maizi (Epson Smart Panel)
Programu-tumizi ya Kutambaza na Kuhamisha Taswira (Easy Photo Scan)
Programu ya Kusasisha Programu na Vifaa Dhibiti (Epson Software Updater)
Programu ya Kusanidi Kifaa Kipya kwenye Mtandao (EpsonNet Config)
Kusasisha Programu dhibiti ya Kichapishi kwa kutumia Paneli Dhibiti
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matini au taswira Iliyonakiliwa kutoka kwenye ADF Imefinywa au Kurefushwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Weka mipangilio msingi kwa kufuata maelekezo yaliyo kwenye skrini.
Unganisha klivhapishi kwenye laini ya simu.
Kwa sababu ukaguzi wa muunganisho otomatiki wa faksi hufanywa mwisho wa sogora, hakikisha umeunganisha printa kwenye laini ya simu kabla ya kuanzisha sogora.
Teua Mipangilio kwenye skrini ya nyumbani.
Teua Mipangilio ya Jumla > Mipangilio ya Faksi > Sogora ya Mpangilio wa faksi.
Kwenye skrini ya Sogora ya Mpangilio wa faksi, donoa Endelea.
Sogora inaanza.
Kwenye skrini ya kuingiza kichwa cha faksi, ingiza jina lako la mtumaji kama vile jina la kampuni yako, na kisha udonoe OK.
Jina lako la mtumaji na nambari yako ya faksi inaonekana kama kichwa kwenye faksi inayotoka.
Kwenye skrini ya kuingiza nambari ya simu, ingiza nambari yako ya faksi, na kisha udonoe OK.
Kwenye skrini ya Mipangilio ya Distinctive Ring Detection (DRD), weka mipangilio ifuatayo.
Huduma tofauti za mzunguko, zinazotolewa na makampuni mengi ya simu (jina la huduma hutofautiana na kampuni), hukuwezesha kuwa na nambari kadhaa za simu kwenye laini moja ya simu.Kila nambari inapewa ruwaza tifauti ya mzunguko.Unaweza kutumia nambari moja kwa simu za sauti na nyingine kwa simu za faksi.Chagua ruwaza ya mzunguo iliyopewa kwa simu za faksi katika DRD.
Kulingana na eneo, Washa na Zima huonekana kama chaguo za DRD.Chagua Washa ili utumie kipengele tofatui cha mzunguko.
Kwenye skrini ya Mpangilio wa Hali ya Kupokea, chagua kama unatumia kifaa chako cha simu kilichounganishwa kwenye printa.
Kwenye skrini ya Mpangilio wa Hali ya Kupokea, chagua kama unataka kupokea faksi kiotomatiki.
Kwenye skrini ya Endelea, kagua mipangilio uliyofanya, na kisha udonoe Endelea.
Ili kurekebisha au kubadilisha mipangilio, donoa
.
Teua Anza Kukagua ili uendeshe ukaguzi wa muunganisho wa faksi, na skrini inapokuuliza uchapishe matokeo ya ukaguzi, teua Chapisha.
Ripoti ya matokeo ya ukaguzi inayoonyesha hali ya muunganisha imechapishwa.
Ikiwa kuna hitilafu zozote ambazo zimeripotiwa, fuata maelekezo yaliyo kwenye ripoti ili uzitatue.
Ikiwa skrini ya Chagua Aina ya Laini imeonyeshwa, chagua aina ya laini.
- Wakati unaunganisha kichapishi kwenye mfumo wa simu wa PBX au adapta ya taminali, teua PBX.
- Unapounganisha kichapishi kwenyue laini wastani ya simu, teua PSTN, na kisha uteue Usigundue kwenye skrini iliyoonyeshwa ya Thibitisho.Hata hivyo, kuweka hii kwa Usigundue kunaweza kusababisha printa iruke tarakimu ya kwanza ya nambari ya faksi wakati wa kudayo na itume faksi kwa nambari isiyo sahihi.