Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Haiwezi kuchapisha kutoka kwenye iPhone, iPad, au iPod touch
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Unapochapisha kutoka kwenye kiendeshi cha kichapishi cha Windows, mpangilio wa urekebishaji picha kiotomatiki wa Epson unatekelezwa kwa chaguo-msingi kulingana na aina ya karatasi. Jaribu kubadilisha mpangilio.
Kwenye kichupo cha Chaguo Zaidi, teua Kaida kwenye Usahihishaji wa Rangi, na kisha ubofye Iliyoboreshwa. Badilisha mpangilio wa Usahihishaji wa Eneo kutoka Ur'aji Oto'ki hadi chaguo jingine lolote. Iwapo kubadilisha mpangilio hakufanyi kazi, tumia mbinu yoyote ya marekebisho ya rangi kando na Ubora Picha kwenye Usimamiaji wa Rangi.