Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Haiwezi kuchapisha kutoka kwenye iPhone, iPad, au iPod touch
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Unaweza kupokea faksi iliyohifadhiwa kwenye mashine nyingine ya faksi kwa kudayo nambari ya faksi. Tumia kipengele hiki kupokea hati kutoka kwa huduma ya maelezo ya faksi. Hata hivyo, ikiwa huduma ya maelezo ya faksi ina kipengele cha mwongozo wa sikizi unachohitaji kufuata ili upokee hati, huwezi kukitumia kipengele hiki.
Ili upokee hati kutoka kwa huduma ya maelezo ya faksi inayotumia mwongozo wa sikizi, dayo nambari ya faksi ukitumia simu iliyounganishwa, na utumie simu na printa ukifuata mwongozo wa sikizi.
Teua Faksi kwenye skrini ya nyumbani.
Teua
(Zaidi).
Teua Itisha Hati ili kuweka hii kwa On, na kisha uteue Funga.
Ingiza nambari ya faksi.
Wakati Mipangilio ya Usalama kwenye Vikwazo vya Kupiga Moja kwa moja imewekwa kwa On, unaweza kuteua tu wapokeaji wa faksi kutoka kwenye orodha ya waasiliani au historia ya faksi iliyotumwa. Huwezi kuingiza nambari ya faksi kwa mikono.
Bonyeza kitufe cha
.