Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Haiwezi kuchapisha kutoka kwenye iPhone, iPad, au iPod touch
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Unaweza kupokea faksi na kuzihifadhi katika faili za PDF kwenye kompyuta iliyounganishwa kwenye kichapishi. FAX Utility huja na vipengele vinavyojumuisha jinsi ya kubainisha kabrasha ili kuhifadhi faksi. Sakinisha FAX Utility kabla ya kutumia kipengele hiki.
Unaweza kutumia mbinu zifuatazo ili kusakinisha FAX Utility.
Kutumia EPSON Software Updater (programu-tumizi ya kusasisha programu)
Kutumia diski iliyokuja na kichapishi chako. (Windows watumiaji Pekee)
Ili kupokea faksi kwenye kompyuta, lazima Hali ya Kupokea kwenye paneli dhibiti ya kichapishi iwekwe kwa Otomatiki.
Kompyuta iliyowekwa kupokea faksi inafaa kuwashwa kila mara. Nyaraka zilizopokewa zinahifadhiwa kwa muda kwenye kumbukumbu ya kichapishi kabla ya nyaraka zilizohifadhiwa kwenye kompyuta. Ukizima kompyuta, huenda kumbukumbu ya kichapishi ikajaa kwa kuwa haiwezi kutuma nyaraka kwenye kompyuta.
Idadi ya nyaraka ambazo zimehifadhiwa kwa muda katika kumbukumbu ya kichapishi huonyeshwa kwenye
kwenye skrini ya nyumbani.
Ili kusoma faksi zilizopokewa, unahitaji kusakinisha kionyeshaji cha PDF kama vile Adobe Reader kwenye kompyuta.