Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Haiwezi kuchapisha kutoka kwenye iPhone, iPad, au iPod touch
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Baada ya kutambaza, sakinisha Epson Scan 2 na Epson Event Manager kwenye kompyuta yako.
Weka nakala za kwanza.
Teua Changanua kwenye skrini ya nyumbani.
Ili kuteua kipengee, tumia vitufe vya
, na kisha ubonyeze kitufe cha OK.

Teua Kompyuta.
Teua kompyuta unayotaka kuhifadhi picha zilizotambazwa.
ili kuteua upya kompyuta.
Wakati kichapishi kimeunganishwa kwenye mtandao, unaweza kuteua kompyuta ipi ambayo unataka kuhifadhi taswira iliyotambazwa. Unaweza kuonyesha hadi kompyuta 20 kwenye paneli dhibiti ya kichapishi. Iwapo utaweka Network Scan Name (Alphanumeric) kwenye Epson Event Manager, inaonyeshwa katika paneli dhibiti.
Teua
ili kuteua jinsi ya kuhifadhi picha iliyotambazwa kwenye kompyuta.
Bonyeza kitufe cha
.