Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu-tumizi kwa Usanidi wa Operesheni za Faksi na Kutuma Faksi (FAX Utility)
Haiwezi kuchapisha kutoka kwenye iPhone, iPad, au iPod touch
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Matatizo Wakati wa Kutuma na Kupokea Faksi
Unaweza kutuma faksi kwa kudayo ukitumia simu iliyounganishwa unapotaka kuzungumza kwenye simu kabla ya kutuma faksi, au wakati mashine ya faksi ya mpokeaji haibadilishi kwa faksi kiotomatiki.
Weka nakala za kwanza.
Unaweza kutuma hadi kurasa 100 katika utumaji huu.
Inua mkono wa kifaa cha simu na kisha udayo nambari ya faksi ya mpokeaji kwa kutumia simu.
Mpokeaji anapojibu simu, unaweza kuzungumza na mpokeaji.
Teua Faksi kwenye skrini ya nyumbani.
Ili kuteua kipengee, tumia vitufe vya
, na kisha ubonyeze kitufe cha OK.
Teua kichupo cha Mipangilio ya Faksi, na kisha uweke mipangilio kama vile mwonekano na mbinu ya utumaji inavyohitajika.
Unaposikia toni ya faksi, bonyeza kitufe cha
, na kisha ukate simu.
Wakati nambari inapigwa kupitia simu iliyounganishwa, huwa inachukua muda mrefu kutuma faksi kwa sababu kichapishi hufanya utambazaji na utumaji wakati mmoja. Wakati unatuma faksi, huwezi kutumia vipengele vingine.
Wakati utumaji umekamilika, ondoa nakala asili.