/ Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu / Programu ya Kusanidi Kifaa Kipya kwenye Mtandao (EpsonNet Config)

Programu ya Kusanidi Kifaa Kipya kwenye Mtandao (EpsonNet Config)

EpsonNet Config ni programu inayokuruhusu kuweka anwani na itifaku za kusano ya mtandao. Angalia mwongozo wa uendeshaji kwa EpsonNet Config au msaada wa programu-tumizi kwa maelezo zaidi.

Kuanzia kwenye Windows
  • Windows 10

    Bofya kitufe cha kuwasha, na kisha uteue EpsonNet > EpsonNet Config.

  • Windows 8.1/Windows 8

    Andika jina la programu katika sehemu ya utafutaji, na kisha uchague ikoni inayoonekana.

  • Windows 7/Windows Vista/Windows XP

    Bofya kitufe cha kuanza, na uchague Programu Zote au Programu > EpsonNet > EpsonNet Config SE > EpsonNet Config.

Kuanzia kwenye Mac OS

Nenda > Programu > Epson Software > EpsonNet > EpsonNet Config SE > EpsonNet Config.