Kutenganisha Muunganisho wa Wi-Fi Direct (AP Rahisi) kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kurejesha Mipangilio ya Mtandao kutoka kwenye Paneli Dhibiti
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Windows
Kuchapisha kutoka kwenye Kiendeshi cha Kichapishi kwenye Mac OS
Kuchapisha kutoka kwa Menyu ya Chapisha Picha kwenye Paneli Dhibiti
Kuchapisha kutoka kwa Menyu ya Chapa mbalimbali kwenye Paneli Dhibiti
Huduma ya Mtandao na Maelezo ya Programu
Programu ya Kusawazisha Utendakazi wa Kichapishi (Web Config)
Programu-tumizi za Kutambaza Nyaraka na Picha (Epson Scan 2)
Programu-tumizi ya Kusanidi Operesheni za Utambazaji kutoka kwa Paneli Dhibiti (Epson Event Manager)
Programu ya Kutambaza kutoka katika Kompyuta (Epson ScanSmart)
Programu ya Uchapishaji Haraka na Furaha kutoka katika Kompyuta (Epson Photo+)
Programu ya Kuendesha Kichapishi Rahisi kutoka kwenye Kifaa maizi (Epson Smart Panel)
Programu-tumizi ya Kutambaza na Kuhamisha Taswira (Easy Photo Scan)
Programu ya Kusasisha Programu na Vifaa Dhibiti (Epson Software Updater)
Programu ya Kusanidi Kifaa Kipya kwenye Mtandao (EpsonNet Config)
Kusasisha Programu dhibiti ya Kichapishi kwa kutumia Paneli Dhibiti
Machapisho Yasiyoonekana Vizuri, Mstari Wima, au Upangiliaji usiofaa
Karatasi Imechafuka Wakati wa Uchapishaji Otomatiki wa Pande 2
Kingo za Picha Zinapogolewa Wakati wa Uchapishaji wa Bila Mpaka
Rangi, Uchafu, Matone Yasiyo sawa, au Mistari Sambamba Itaonekana katika Picha Zilizonakiliwa
Ruwaza Zaidi (Mistari Sambamba Iliyopatana) Huonekana katika Taswira Iliyonakiliwa
Picha ya Upande wa Nyuma wa Ya Asili Huonekana Katika Picha Iliyonakiliwa
Unaweza kuandika au kusoma data kwenye kifaa cha hifadhi ya nje kama vile kadi ya kumbukumbu ambayo imechomekwa kwenye kichapishi kutoka kwenye kompyuta.
Chomeka kadi ya kumbukumbu baada ya kuondoa ulinzi wa kuandika.
Iwapo taswira imehifadhiwa kwenye kadi ya kumbukumbu kutoka kwenye kompyuta, taswira na idadi ya picha hazionyeshiw upya kwenye skrini ya LCD. Ondoa na uchomeke tena kadi ya kumbukumbu.
Unaposhiriki kifaa cha nje kilichochomekwa kwenye kichapishi kati ya kompyuta zilizounganishwa kupitia USB na kwenye mtandao, ufikiaji wa kuandika unaruhusiwa tu kwa kompyuta ambazo zimeunganishwa kwa mbinu uliyoteua kwenye kichapishi. Ili kuandika kwenye kifaa cha hifadhi ya nje, ingiza Mipangilio kwenye paneli kidhibiti na uteue Kushiriki Faili na mbinu ya muunganisho.
Teua kifaa cha hifadhi ya nje kwenye Kompyuta au Kompyuta Yangu. Data kwenye kifaa cha hifadhi ya nje inaonyeshwa.
Ikiwa umeunganisha printa kwenye mtandao bila diski ya programu au Web Installer, kuweka nafasi ya kadi ya kumbukumbu au kituo cha USB kama kiendeshi cha mtandao. Fungua Endesha na uingize jina la kichapishi \\XXXXX au anwani ya IP ya kichapishi \\XXX.XXX.XXX.XXX ili Fungua:. Bofya kulia kwenye ikoni ya kifaa iliyoonyeshwa ili upangie mtandao. Kiendeshi cha mtandao hutokea katika Kompyuta au Kompyuta Yangu.
Teua ikoni inayolingana ya kifaa. Data kwenye kifaa cha hifadhi ya nje inaonyeshwa.
Ili uondoe kifaa cha hifadhi ya ndani, kokota au dondosha ikoni ya kifaa kwenye ikoni ya takataka. Kama sivyo, huenda data kwenye kiendeshi kilichoshirikiwa kisionyeshwe vizuri wakati kifaa kingine cha hifadhi cha nje kimeingizwa.
Ili ufikie kifaa cha hifadhi cha nje kupitia mtandao, chagua Go > Connect to Server kutoka kwa menyu kwenye eneo kazi. Ingiza jina la kichapishi cifs://XXXXX au smb://XXXXX (Ambapo “XXXXX” ni jina la kichapishi) katika Anwani ya Seva, na kisha ubofye Unganisha.